Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa hiyo watu wakaendelea kusimama mbali, lakini Musa akalikaribia lile wingu jeusi mahali alipokuwa Mungu wa kweli.+

  • Kumbukumbu la Torati 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Yehova aliwapa amri hizo* ninyi nyote mlimani, kutoka katika moto, wingu, na utusitusi mzito,+ kwa sauti kubwa, naye hakuongeza lolote; kisha akaziandika kwenye mabamba mawili ya mawe na kunipa.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 6:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wakati huo Sulemani alisema: “Yehova alisema kwamba atakaa katika giza zito.+ 2 Sasa nimekujengea nyumba iliyokwezwa, mahali palipofanywa imara ili ukae humo milele.”+

  • Zaburi 18:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kisha akajifunika giza,+

      Pande zote kama banda,

      Maji yenye giza na mawingu mazito.+

  • Zaburi 97:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+

      Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chake cha ufalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki