22 “Yehova aliwapa amri hizo* ninyi nyote mlimani, kutoka katika moto, wingu, na utusitusi mzito,+ kwa sauti kubwa, naye hakuongeza lolote; kisha akaziandika kwenye mabamba mawili ya mawe na kunipa.+
6Wakati huo Sulemani alisema: “Yehova alisema kwamba atakaa katika giza zito.+2 Sasa nimekujengea nyumba iliyokwezwa, mahali palipofanywa imara ili ukae humo milele.”+