Kutoka 20:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo watu wakaendelea kusimama mbali, lakini Musa akalikaribia lile wingu jeusi mahali alipokuwa Mungu wa kweli.+ 1 Wafalme 8:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati huo Sulemani akasema: “Yehova alisema kwamba atakaa katika giza zito.+ 13 Nimefanikiwa kukujengea nyumba iliyokwezwa, mahali palipofanywa imara ili ukae humo milele.”+ Zaburi 97:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chake cha ufalme.+
21 Kwa hiyo watu wakaendelea kusimama mbali, lakini Musa akalikaribia lile wingu jeusi mahali alipokuwa Mungu wa kweli.+
12 Wakati huo Sulemani akasema: “Yehova alisema kwamba atakaa katika giza zito.+ 13 Nimefanikiwa kukujengea nyumba iliyokwezwa, mahali palipofanywa imara ili ukae humo milele.”+