Kumbukumbu la Torati 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakati huo nilisimama kati yenu na Yehova+ ili niwaambie neno la Yehova, kwa maana mliogopa kwa sababu ya moto nanyi hamkupanda mlimani.+ Alisema hivi: Zaburi 97:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chake cha ufalme.+
5 Wakati huo nilisimama kati yenu na Yehova+ ili niwaambie neno la Yehova, kwa maana mliogopa kwa sababu ya moto nanyi hamkupanda mlimani.+ Alisema hivi: