Kutoka 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi wakamwambia Musa: “Wewe ongea nasi, tutasikiliza, lakini Mungu asiongee nasi tusije tukafa.”+ Wagalatia 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi, kwa nini Sheria? Iliongezwa ili kufanya makosa yawe wazi,+ mpaka ufike ule uzao*+ ambao ulikuwa umepewa ahadi; na ilipitishwa kupitia malaika+ kwa mkono wa mpatanishi.+
19 Basi wakamwambia Musa: “Wewe ongea nasi, tutasikiliza, lakini Mungu asiongee nasi tusije tukafa.”+
19 Basi, kwa nini Sheria? Iliongezwa ili kufanya makosa yawe wazi,+ mpaka ufike ule uzao*+ ambao ulikuwa umepewa ahadi; na ilipitishwa kupitia malaika+ kwa mkono wa mpatanishi.+