Kutoka 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi wakamwambia Musa: “Wewe ongea nasi, tutasikiliza, lakini Mungu asiongee nasi tusije tukafa.”+ Kumbukumbu la Torati 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakati huo nilisimama kati yenu na Yehova+ ili niwaambie neno la Yehova, kwa maana mliogopa kwa sababu ya moto nanyi hamkupanda mlimani.+ Alisema hivi: Yohana 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ lakini fadhili zisizostahiliwa+ na kweli zilikuja kupitia Yesu Kristo.+
19 Basi wakamwambia Musa: “Wewe ongea nasi, tutasikiliza, lakini Mungu asiongee nasi tusije tukafa.”+
5 Wakati huo nilisimama kati yenu na Yehova+ ili niwaambie neno la Yehova, kwa maana mliogopa kwa sababu ya moto nanyi hamkupanda mlimani.+ Alisema hivi:
17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ lakini fadhili zisizostahiliwa+ na kweli zilikuja kupitia Yesu Kristo.+