23 Kwa maana wote wamefanya dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,+24 nayo ni zawadi ya bure+ kwamba wanatangazwa kuwa waadilifu kwa fadhili zake zisizostahiliwa+ kupitia kuachiliwa huru kwa njia ya fidia ambayo Kristo Yesu alilipa.+
5 Kwa maana alituagiza awali+ tufanywe kuwa wanawe mwenyewe+ kupitia Yesu Kristo, kulingana na mapenzi yake mema na kusudi lake,+6 kwa sifa ya fadhili zake zisizostahiliwa+ zenye utukufu alizotupatia kwa fadhili kupitia mpendwa wake.+