2 Wathesalonike 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hata hivyo, tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu akina ndugu mnaopendwa na Yehova,* kwa sababu tangu mwanzo Mungu aliwachagua+ ili mwokolewe kwa kuwatakasa+ kupitia roho yake na imani yenu katika kweli. 1 Petro 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kulingana na ujuzi wa awali wa Mungu aliye Baba,+ kwa kutakaswa kwa roho,+ kusudi wawe watiifu na kunyunyiziwa damu ya Yesu Kristo:+ Na mwongezewe fadhili zisizostahiliwa na amani.
13 Hata hivyo, tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu akina ndugu mnaopendwa na Yehova,* kwa sababu tangu mwanzo Mungu aliwachagua+ ili mwokolewe kwa kuwatakasa+ kupitia roho yake na imani yenu katika kweli.
2 kulingana na ujuzi wa awali wa Mungu aliye Baba,+ kwa kutakaswa kwa roho,+ kusudi wawe watiifu na kunyunyiziwa damu ya Yesu Kristo:+ Na mwongezewe fadhili zisizostahiliwa na amani.