Yohana 6:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Hakuna mtu anayeweza kuja kwangu isipokuwa Baba aliyenituma amvute,+ nami nitamfufua siku ya mwisho.+ Waroma 8:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Isitoshe, wale aliowachagua awali+ ndio aliowaita pia;+ na wale aliowaita ndio aliowatangaza kuwa waadilifu pia.+ Mwishowe wale aliowatangaza kuwa waadilifu ndio aliowatukuza pia.+
44 Hakuna mtu anayeweza kuja kwangu isipokuwa Baba aliyenituma amvute,+ nami nitamfufua siku ya mwisho.+
30 Isitoshe, wale aliowachagua awali+ ndio aliowaita pia;+ na wale aliowaita ndio aliowatangaza kuwa waadilifu pia.+ Mwishowe wale aliowatangaza kuwa waadilifu ndio aliowatukuza pia.+