Waroma 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo basi, kama vile kupitia kosa moja matokeo kwa watu wa namna zote yalikuwa kuhukumiwa hatia,+ vivyo hivyo kupitia tendo moja la kutetewa matokeo kwa watu wa namna zote+ ni wao kutangazwa kuwa waadilifu kwa ajili ya uzima.+ Tito 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 ili baada ya kutangazwa kuwa waadilifu kupitia fadhili zake zisizostahiliwa,+ sisi tuwe warithi+ kulingana na tumaini la uzima wa milele.+
18 Kwa hiyo basi, kama vile kupitia kosa moja matokeo kwa watu wa namna zote yalikuwa kuhukumiwa hatia,+ vivyo hivyo kupitia tendo moja la kutetewa matokeo kwa watu wa namna zote+ ni wao kutangazwa kuwa waadilifu kwa ajili ya uzima.+
7 ili baada ya kutangazwa kuwa waadilifu kupitia fadhili zake zisizostahiliwa,+ sisi tuwe warithi+ kulingana na tumaini la uzima wa milele.+