Matendo 7:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Huyo ndiye aliyekuwa kati ya kutaniko huko nyikani pamoja na malaika+ aliyezungumza naye+ kwenye Mlima Sinai na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu yaliyo hai ili atupatie.+ Matendo 7:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 ninyi mliopokea Sheria kupitia malaika+ lakini hamkuishika.” Waebrania 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ikiwa neno lililosemwa kupitia malaika+ lilikuwa hakika, na kila kosa na tendo la kutotii liliadhibiwa kupatana na haki,+
38 Huyo ndiye aliyekuwa kati ya kutaniko huko nyikani pamoja na malaika+ aliyezungumza naye+ kwenye Mlima Sinai na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu yaliyo hai ili atupatie.+
2 Kwa maana ikiwa neno lililosemwa kupitia malaika+ lilikuwa hakika, na kila kosa na tendo la kutotii liliadhibiwa kupatana na haki,+