3 “Macho yenu wenyewe yameona mambo ambayo Yehova alitenda kuhusiana na kisa cha Baali wa Peori; Yehova Mungu wenu alimwangamiza kila mtu miongoni mwenu aliyemfuata Baali wa Peori.+
5 Ingawa mnajua vizuri mambo yote haya, nataka kuwakumbusha kwamba ijapokuwa Yehova* aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale waliokosa imani.+