Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kisha Musa akawaambia hivi waamuzi wa Israeli:+ “Kila mmoja wenu awaue watu wake walioshiriki katika kumwabudu* Baali wa Peori.”+

  • Hesabu 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Watu waliokufa kutokana na pigo hilo walikuwa 24,000.+

  • Zaburi 106:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha wakajiunga* na ibada ya Baali wa Peori,+

      Nao wakala dhabihu zilizotolewa kwa waliokufa.*

  • Hosea 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Niliwapata Waisraeli kama zabibu nyikani.+

      Kama matunda ya kwanza ya tini niliwaona mababu zenu.

      Lakini walienda kwa Baali wa Peori;+

      Walijiweka wakfu kwa kile kitu cha aibu,*+

      Wakawa chukizo kama kitu walichokipenda.

  • 1 Wakorintho 10:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wala tusiwe waabudu sanamu, kama baadhi yao walivyofanya; kama ilivyoandikwa: “Watu wakaketi ili wale na kunywa. Kisha wakasimama ili wajitumbuize.”+ 8 Wala tusifanye uasherati,* kama baadhi yao walivyofanya uasherati,* na 23,000 kati yao wakaanguka kwa siku moja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki