7 Wala tusiwe waabudu sanamu, kama baadhi yao walivyofanya; kama ilivyoandikwa: “Watu wakaketi ili wale na kunywa. Kisha wakasimama ili wajitumbuize.”+8 Wala tusifanye uasherati,* kama baadhi yao walivyofanya uasherati,* na 23,000 kati yao wakaanguka kwa siku moja.+