4 Yehova akamwambia Musa: “Wachukue viongozi wote wa watu hawa na uwatundike kweupe kabisa wakati wa mchana* mbele za Yehova, ili hasira kali ya Yehova isiendelee kuwaka dhidi ya Waisraeli.”
3 “Macho yenu wenyewe yameona mambo ambayo Yehova alitenda kuhusiana na kisa cha Baali wa Peori; Yehova Mungu wenu alimwangamiza kila mtu miongoni mwenu aliyemfuata Baali wa Peori.+