Zaburi 78:69 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 69 Alipafanya mahali pake patakatifu pawe mahali pa kudumu kama mbingu,*+Kama dunia ambayo ameiimarisha milele.+ Zaburi 132:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Yehova amelichagua Sayuni;+Amelitamani liwe makao yake:+ 14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzikia milele;Nitakaa hapa,+ kwa maana nimepatamani.
69 Alipafanya mahali pake patakatifu pawe mahali pa kudumu kama mbingu,*+Kama dunia ambayo ameiimarisha milele.+
13 Kwa maana Yehova amelichagua Sayuni;+Amelitamani liwe makao yake:+ 14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzikia milele;Nitakaa hapa,+ kwa maana nimepatamani.