Zaburi 48:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulio mbali sana kaskazini,Jiji la Mfalme Mkuu.+ 3 Katika minara yake yenye ngome,Mungu ametangaza kwamba yeye ni kimbilio salama.*+ Zaburi 78:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Lakini alichagua kabila la Yuda,+Mlima Sayuni, anaoupenda.+ Waebrania 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini ninyi mmeukaribia Mlima Sayuni,+ jiji la Mungu aliye hai, yaani, Yerusalemu la mbinguni,+ na makumi ya maelfu ya malaika
2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulio mbali sana kaskazini,Jiji la Mfalme Mkuu.+ 3 Katika minara yake yenye ngome,Mungu ametangaza kwamba yeye ni kimbilio salama.*+
22 Lakini ninyi mmeukaribia Mlima Sayuni,+ jiji la Mungu aliye hai, yaani, Yerusalemu la mbinguni,+ na makumi ya maelfu ya malaika