Zaburi 47:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mungu amekuwa Mfalme juu ya mataifa.+ Mungu huketi kwenye kiti chake kitakatifu cha ufalme. Zaburi 135:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yehova na asifiwe kutoka Sayuni,+Yeye anayekaa Yerusalemu.+ Msifuni Yah!+ Mathayo 5:34, 35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hata hivyo, ninawaambia: Msiape kamwe+ kwa mbingu kwa sababu ni kiti cha ufalme cha Mungu; 35 wala kwa dunia kwa sababu ni mahali pake pa kuwekea miguu;+ wala kwa Yerusalemu kwa sababu ni jiji la Mfalme mkuu.+
34 Hata hivyo, ninawaambia: Msiape kamwe+ kwa mbingu kwa sababu ni kiti cha ufalme cha Mungu; 35 wala kwa dunia kwa sababu ni mahali pake pa kuwekea miguu;+ wala kwa Yerusalemu kwa sababu ni jiji la Mfalme mkuu.+