1 Mambo ya Nyakati 16:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mbingu na zishangilie, dunia na iwe na shangwe;+Tangazeni miongoni mwa mataifa: ‘Yehova amekuwa Mfalme!’+ Zaburi 96:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tangazeni miongoni mwa mataifa: “Yehova amekuwa Mfalme!+ Dunia imeimarishwa kabisa, haiwezi kusogezwa.* Atayahukumu* mataifa kwa haki.”+ Zaburi 97:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 97 Yehova amekuwa Mfalme!+ Dunia na iwe na shangwe.+ Na visiwa vyake vingi vishangilie.+ Ufunuo 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,*+ kwa sababu Yehova* Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme!+
31 Mbingu na zishangilie, dunia na iwe na shangwe;+Tangazeni miongoni mwa mataifa: ‘Yehova amekuwa Mfalme!’+
10 Tangazeni miongoni mwa mataifa: “Yehova amekuwa Mfalme!+ Dunia imeimarishwa kabisa, haiwezi kusogezwa.* Atayahukumu* mataifa kwa haki.”+
6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,*+ kwa sababu Yehova* Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme!+