Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 96:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tangazeni miongoni mwa mataifa: “Yehova amekuwa Mfalme!+

      Dunia imeimarishwa kabisa, haiwezi kusogezwa.*

      Atayahukumu* mataifa kwa haki.”+

  • Ufunuo 11:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wale wazee 24+ waliokuwa wameketi kwenye viti vyao vya ufalme mbele za Mungu wakaanguka kifudifudi na kumwabudu Mungu, 17 wakisema: “Tunakushukuru wewe, Yehova* Mungu, Mweza-Yote, yule aliyeko+ na aliyekuwako, kwa sababu umechukua nguvu zako kuu na kuanza kutawala ukiwa mfalme.+

  • Ufunuo 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,*+ kwa sababu Yehova* Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki