Ufunuo 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yohana, kwa makutaniko saba+ yaliyo katika mkoa wa Asia: Na muwe na fadhili zisizostahiliwa na amani kutoka kwa “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja,”+ na kutoka kwa zile roho saba+ zilizo mbele ya kiti chake cha ufalme, Ufunuo 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nikamsikia malaika aliye juu ya maji akisema: “Wewe, Ambaye uko na uliyekuwako,+ Mshikamanifu,+ wewe ni mwadilifu, kwa kuwa umetoa hukumu hizi,+
4 Yohana, kwa makutaniko saba+ yaliyo katika mkoa wa Asia: Na muwe na fadhili zisizostahiliwa na amani kutoka kwa “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja,”+ na kutoka kwa zile roho saba+ zilizo mbele ya kiti chake cha ufalme,
5 Nikamsikia malaika aliye juu ya maji akisema: “Wewe, Ambaye uko na uliyekuwako,+ Mshikamanifu,+ wewe ni mwadilifu, kwa kuwa umetoa hukumu hizi,+