Zaburi 145:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yehova ni mwadilifu katika njia zake zote+Na mshikamanifu katika kila jambo analotenda.+ Ufunuo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”