- 
	                        
            
            Zaburi 18:25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        25 Kwa mtu mshikamanifu unatenda kwa ushikamanifu;+ Kwa mtu asiye na lawama unatenda bila lawama;+ - 
	                        
            
            Ufunuo 15:3, 4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+ 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.” 
 
- 
                                        
 
- 
	                        
            
            
 
-