-
2 Samweli 22:26-31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 Kwa mtu mshikamanifu unatenda kwa ushikamanifu;+
Kwa mtu asiye na lawama, mtu hodari, unatenda bila lawama;+
27 Kwa walio safi unajidhihirisha mwenyewe kuwa safi,+
Lakini kwa waliopotoka unajidhihirisha mwenyewe kuwa mwenye busara.*+
28 Kwa maana wewe huwaokoa walio wanyenyekevu,+
Lakini macho yako hayapendezwi na wenye kiburi, nawe huwashusha.+
30 Kwa msaada wako ninaweza kukabiliana na kundi la wavamizi;
Kwa nguvu za Mungu ninaweza kuupanda ukuta.+
Yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia.+
-