Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:26-31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa mtu mshikamanifu unatenda kwa ushikamanifu;+

      Kwa mtu asiye na lawama, mtu hodari, unatenda bila lawama;+

      27 Kwa walio safi unajidhihirisha mwenyewe kuwa safi,+

      Lakini kwa waliopotoka unajidhihirisha mwenyewe kuwa mwenye busara.*+

      28 Kwa maana wewe huwaokoa walio wanyenyekevu,+

      Lakini macho yako hayapendezwi na wenye kiburi, nawe huwashusha.+

      29 Kwa maana wewe ni taa yangu, Ee Yehova;+

      Yehova ndiye anayefanya giza langu liangaze.+

      30 Kwa msaada wako ninaweza kukabiliana na kundi la wavamizi;

      Kwa nguvu za Mungu ninaweza kuupanda ukuta.+

      31 Njia ya Mungu wa kweli ni kamilifu;+

      Neno la Yehova ni safi.+

      Yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia.+

  • Ayubu 34:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana atamlipa mwanadamu kulingana na matendo yake+

      Na kumletea matokeo ya njia zake.

  • Yeremia 32:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wewe ni mkuu katika kutoa mashauri* na matendo yako ni yenye nguvu,+ wewe ambaye macho yako huchunguza njia zote za wanadamu,+ ili kumlipa kila mtu kulingana na njia zake na matendo yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki