Zaburi 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Maneno ya Yehova ni safi;+Ni kama fedha iliyosafishwa katika tanuru la udongo,* iliyosafishwa mara saba. Methali 30:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kila neno la Mungu ni safi.+ Yeye ni ngao kwa wale wanaomkimbilia.+
6 Maneno ya Yehova ni safi;+Ni kama fedha iliyosafishwa katika tanuru la udongo,* iliyosafishwa mara saba.