2 Samweli 22:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Njia ya Mungu wa kweli ni kamilifu;+Neno la Yehova ni safi.+ Yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia.+ Zaburi 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Maagizo kutoka kwa Yehova ni ya uadilifu, huufanya moyo ushangilie;+Amri ya Yehova ni safi, huyafanya macho yang’ae.+
31 Njia ya Mungu wa kweli ni kamilifu;+Neno la Yehova ni safi.+ Yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia.+
8 Maagizo kutoka kwa Yehova ni ya uadilifu, huufanya moyo ushangilie;+Amri ya Yehova ni safi, huyafanya macho yang’ae.+