Methali 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baba alinifundisha na kusema: “Moyo wako na ushike kabisa maneno yangu.+ Shika amri zangu, uendelee kuishi.+ Methali 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana amri hiyo ni taa,+Na sheria ni nuru,+Na makaripio ya nidhamu ndiyo njia ya uzima.+ Mathayo 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Taa ya mwili ni jicho.+ Basi, ikiwa jicho lako linakazia jambo hususa,* mwili wako wote utakuwa mwangavu.*
4 Baba alinifundisha na kusema: “Moyo wako na ushike kabisa maneno yangu.+ Shika amri zangu, uendelee kuishi.+
22 “Taa ya mwili ni jicho.+ Basi, ikiwa jicho lako linakazia jambo hususa,* mwili wako wote utakuwa mwangavu.*