Methali 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Macho yako yanapaswa kutazama mbele moja kwa moja,Naam, yakaze macho yako* moja kwa moja mbele yako.+ Luka 11:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Taa ya mwili ni jicho lako. Ikiwa jicho lako linakazia jambo hususa,* mwili wako wote utakuwa mwangavu;* lakini ikiwa lina wivu,* mwili wako utakuwa na giza.+ Waefeso 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ameyatia nuru macho ya moyo wenu, ili mjue tumaini alilowaitia, utajiri wenye utukufu ambao amewawekea watakatifu kuwa urithi,+
25 Macho yako yanapaswa kutazama mbele moja kwa moja,Naam, yakaze macho yako* moja kwa moja mbele yako.+
34 Taa ya mwili ni jicho lako. Ikiwa jicho lako linakazia jambo hususa,* mwili wako wote utakuwa mwangavu;* lakini ikiwa lina wivu,* mwili wako utakuwa na giza.+
18 Ameyatia nuru macho ya moyo wenu, ili mjue tumaini alilowaitia, utajiri wenye utukufu ambao amewawekea watakatifu kuwa urithi,+