22 “Taa ya mwili ni jicho.+ Basi, ikiwa jicho lako linakazia jambo hususa, mwili wako wote utakuwa mwangavu. 23 Lakini ikiwa jicho lako lina wivu,+ mwili wako wote utakuwa na giza. Ikiwa nuru iliyo ndani yako kwa kweli ni giza, basi giza hilo ni kubwa sana!