Mhubiri 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Mungu wa kweli atahukumu kila tendo, kutia ndani kila jambo lililofichwa, kuwa jema au baya.+ Yeremia 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mimi, Yehova, ninauchunguza moyo,+Ninakagua mawazo ya ndani kabisa,*Ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake,Kulingana na matunda ya matendo yake.+ Waroma 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+
14 Kwa maana Mungu wa kweli atahukumu kila tendo, kutia ndani kila jambo lililofichwa, kuwa jema au baya.+
10 Mimi, Yehova, ninauchunguza moyo,+Ninakagua mawazo ya ndani kabisa,*Ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake,Kulingana na matunda ya matendo yake.+