Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 62:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Pia upendo mshikamanifu ni wako, Ee Yehova,+

      Kwa maana unamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.+

  • Mhubiri 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Shangilia, ewe kijana, wakati ungali kijana, na moyo wako ushangilie siku za ujana wako. Fuata njia za moyo wako na uende mahali ambapo macho yako yanakuongoza; lakini ujue kwamba Mungu wa kweli atakuhukumu* kwa sababu ya mambo hayo yote.+

  • Mathayo 12:36, 37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Ninawaambia kwamba katika Siku ya Hukumu watu watatoa hesabu+ kuhusu kila neno lisilofaa wanalosema; 37 kwa maneno yako utatangazwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa.”

  • Matendo 17:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa sababu ameweka siku ambayo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua kutoka kwa wafu.”+

  • 2 Wakorintho 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana lazima sisi sote tusimame* mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mmoja apate malipo kulingana na mambo aliyotenda akiwa katika mwili, yawe mema au mabaya.*+

  • 1 Timotheo 5:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Dhambi za watu fulani hujulikana hadharani, na hivyo wanahukumiwa moja kwa moja, lakini dhambi za watu wengine hujulikana baadaye.+⁠

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki