Mhubiri 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi nikasema moyoni mwangu: “Mungu wa kweli atawahukumu waadilifu na waovu,+ kwa maana kuna wakati kwa ajili ya kila kazi na kila tendo.” Mhubiri 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Mungu wa kweli atahukumu kila tendo, kutia ndani kila jambo lililofichwa, kuwa jema au baya.+ Waroma 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+
17 Basi nikasema moyoni mwangu: “Mungu wa kweli atawahukumu waadilifu na waovu,+ kwa maana kuna wakati kwa ajili ya kila kazi na kila tendo.”
14 Kwa maana Mungu wa kweli atahukumu kila tendo, kutia ndani kila jambo lililofichwa, kuwa jema au baya.+