Mhubiri 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Mungu wa kweli atahukumu kila tendo, kutia ndani kila jambo lililofichwa, kuwa jema au baya.+ Waroma 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hivyo basi, kila mmoja wetu atatoa hesabu kwa Mungu kwa ajili yake mwenyewe.+
14 Kwa maana Mungu wa kweli atahukumu kila tendo, kutia ndani kila jambo lililofichwa, kuwa jema au baya.+