Waroma 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+ Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe: Mungu si wa kudhihakiwa. Kwa maana lolote analopanda mtu, ndilo atakalovuna pia;+ Ufunuo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nami nitawaua watoto wake kwa ugonjwa hatari, hivi kwamba makutaniko yote yatajua kwamba mimi ndiye ninayechunguza mawazo ya ndani kabisa* na mioyo, nami nitampa kila mmoja wenu kulingana na matendo yake.+ Ufunuo 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “‘Tazama! Ninakuja upesi, nikiwa na thawabu ninayotoa, ili kumlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.+
23 Nami nitawaua watoto wake kwa ugonjwa hatari, hivi kwamba makutaniko yote yatajua kwamba mimi ndiye ninayechunguza mawazo ya ndani kabisa* na mioyo, nami nitampa kila mmoja wenu kulingana na matendo yake.+
12 “‘Tazama! Ninakuja upesi, nikiwa na thawabu ninayotoa, ili kumlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.+