Zaburi 62:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pia upendo mshikamanifu ni wako, Ee Yehova,+Kwa maana unamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.+ Isaya 40:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tazameni! Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atakuja kwa nguvu,Na mkono wake utatawala kwa ajili yake.+ Tazameni! Anakuja na thawabu yake,Na malipo anayotoa yako mbele zake.+ Waroma 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+
12 Pia upendo mshikamanifu ni wako, Ee Yehova,+Kwa maana unamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.+
10 Tazameni! Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atakuja kwa nguvu,Na mkono wake utatawala kwa ajili yake.+ Tazameni! Anakuja na thawabu yake,Na malipo anayotoa yako mbele zake.+