Isaya 53:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Ni nani ambaye ameamini jambo alilosikia kutoka kwetu?*+ Na mkono wa Yehova,+ umefunuliwa kwa nani?+ Yohana 12:37, 38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Ingawa alikuwa amefanya ishara nyingi sana mbele yao, hawakuwa wakimwamini, 38 ili maneno haya aliyosema nabii Isaya yatimizwe: “Yehova,* ni nani ambaye ameamini jambo alilosikia kutoka kwetu?*+ Na mkono wa Yehova,* umefunuliwa kwa nani?”+
53 Ni nani ambaye ameamini jambo alilosikia kutoka kwetu?*+ Na mkono wa Yehova,+ umefunuliwa kwa nani?+
37 Ingawa alikuwa amefanya ishara nyingi sana mbele yao, hawakuwa wakimwamini, 38 ili maneno haya aliyosema nabii Isaya yatimizwe: “Yehova,* ni nani ambaye ameamini jambo alilosikia kutoka kwetu?*+ Na mkono wa Yehova,* umefunuliwa kwa nani?”+