Isaya 40:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Utukufu wa Yehova utafunuliwa,+Na wote wenye mwili* watauona pamoja,+Kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.” Yohana 12:37, 38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Ingawa alikuwa amefanya ishara nyingi sana mbele yao, hawakuwa wakimwamini, 38 ili maneno haya aliyosema nabii Isaya yatimizwe: “Yehova,* ni nani ambaye ameamini jambo alilosikia kutoka kwetu?*+ Na mkono wa Yehova,* umefunuliwa kwa nani?”+
5 Utukufu wa Yehova utafunuliwa,+Na wote wenye mwili* watauona pamoja,+Kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”
37 Ingawa alikuwa amefanya ishara nyingi sana mbele yao, hawakuwa wakimwamini, 38 ili maneno haya aliyosema nabii Isaya yatimizwe: “Yehova,* ni nani ambaye ameamini jambo alilosikia kutoka kwetu?*+ Na mkono wa Yehova,* umefunuliwa kwa nani?”+