- 
	                        
            
            Zaburi 18:25-30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
25 Kwa mtu mshikamanifu unatenda kwa ushikamanifu;+
Kwa mtu asiye na lawama unatenda bila lawama;+
26 Kwa walio safi unajidhihirisha mwenyewe kuwa safi,+
Lakini kwa waliopotoka unajidhihirisha mwenyewe kuwa mwenye busara.+
28 Kwa maana ni wewe unayeiwasha taa yangu, Ee Yehova,
Mungu wangu ambaye hulifanya giza langu liangaze.+
29 Kwa msaada wako ninaweza kukabiliana na kundi la wavamizi;+
Kwa nguvu za Mungu ninaweza kuupanda ukuta.+
Yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia.+
 
 -