Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:25-30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa mtu mshikamanifu unatenda kwa ushikamanifu;+

      Kwa mtu asiye na lawama unatenda bila lawama;+

      26 Kwa walio safi unajidhihirisha mwenyewe kuwa safi,+

      Lakini kwa waliopotoka unajidhihirisha mwenyewe kuwa mwenye busara.+

      27 Kwa maana wewe huwaokoa watu wa hali ya chini*+

      Lakini unawashusha wenye kiburi.*+

      28 Kwa maana ni wewe unayeiwasha taa yangu, Ee Yehova,

      Mungu wangu ambaye hulifanya giza langu liangaze.+

      29 Kwa msaada wako ninaweza kukabiliana na kundi la wavamizi;+

      Kwa nguvu za Mungu ninaweza kuupanda ukuta.+

      30 Njia ya Mungu wa kweli ni kamilifu;+

      Neno la Yehova ni safi.+

      Yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki