Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 6:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kuna vitu sita ambavyo Yehova anachukia;

      Naam, vitu saba vinavyomchukiza:

      17 Macho ya kiburi,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+

  • Isaya 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Macho ya mwanadamu yenye majivuno yatashushwa,

      Na kiburi cha wanadamu kitainama chini.*

      Yehova peke yake ndiye atakayekwezwa siku hiyo.

  • Luka 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ninawaambia, mtu huyu alishuka kwenda nyumbani akiwa mwadilifu mbele za Mungu kuliko yule Farisayo.+ Kwa sababu kila mtu anayejiinua atafedheheshwa, lakini yeyote anayejinyenyekeza atainuliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki