-
Methali 6:16, 17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Kuna vitu sita ambavyo Yehova anachukia;
Naam, vitu saba vinavyomchukiza:
17 Macho ya kiburi,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+
-
Isaya 2:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Yehova peke yake ndiye atakayekwezwa siku hiyo.
-
-
-