Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baada ya hayo Kaini akamwambia Abeli ndugu yake: “Twende zetu shambani.” Basi walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.+

  • Mwanzo 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Mungu akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia kwa sauti kutoka ardhini.+

  • Hesabu 35:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Hampaswi kuchukua fidia yoyote kwa ajili ya uhai wa* muuaji anayestahili kufa, kwa maana ni lazima auawe.+

  • Kumbukumbu la Torati 27:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “‘Amelaaniwa mtu anayekubali rushwa ili amuue mtu asiye na hatia.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki