Mwanzo 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Baada ya hayo Kaini akamwambia Abeli ndugu yake: “Twende zetu shambani.” Basi walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.+ Mwanzo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi Mungu akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia kwa sauti kutoka ardhini.+ Hesabu 35:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hampaswi kuchukua fidia yoyote kwa ajili ya uhai wa* muuaji anayestahili kufa, kwa maana ni lazima auawe.+ Kumbukumbu la Torati 27:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “‘Amelaaniwa mtu anayekubali rushwa ili amuue mtu asiye na hatia.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)
8 Baada ya hayo Kaini akamwambia Abeli ndugu yake: “Twende zetu shambani.” Basi walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.+
10 Basi Mungu akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia kwa sauti kutoka ardhini.+
31 Hampaswi kuchukua fidia yoyote kwa ajili ya uhai wa* muuaji anayestahili kufa, kwa maana ni lazima auawe.+
25 “‘Amelaaniwa mtu anayekubali rushwa ili amuue mtu asiye na hatia.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)