Zaburi 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Maneno ya Yehova ni safi;+Ni kama fedha iliyosafishwa katika tanuru la udongo,* iliyosafishwa mara saba. Zaburi 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Maagizo kutoka kwa Yehova ni ya uadilifu, huufanya moyo ushangilie;+Amri ya Yehova ni safi, huyafanya macho yang’ae.+
6 Maneno ya Yehova ni safi;+Ni kama fedha iliyosafishwa katika tanuru la udongo,* iliyosafishwa mara saba.
8 Maagizo kutoka kwa Yehova ni ya uadilifu, huufanya moyo ushangilie;+Amri ya Yehova ni safi, huyafanya macho yang’ae.+