Zaburi 37:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataangamizwa.+ Zaburi 97:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi mnaompenda Yehova, chukieni maovu.+ Anaulinda uhai wa* washikamanifu wake;+Huwaokoa kutoka katika mkono wa* mwovu.+
28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataangamizwa.+
10 Enyi mnaompenda Yehova, chukieni maovu.+ Anaulinda uhai wa* washikamanifu wake;+Huwaokoa kutoka katika mkono wa* mwovu.+