Zaburi 97:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi mnaompenda Yehova, chukieni maovu.+ Anaulinda uhai wa* washikamanifu wake;+Huwaokoa kutoka katika mkono wa* mwovu.+ Methali 2:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Huwahifadhia wanyoofu hekima inayotumika;Yeye ni ngao kwa wanaotembea kwa utimilifu.+ 8 Huvilinda vijia vya haki,Naye atailinda njia ya washikamanifu wake.+
10 Enyi mnaompenda Yehova, chukieni maovu.+ Anaulinda uhai wa* washikamanifu wake;+Huwaokoa kutoka katika mkono wa* mwovu.+
7 Huwahifadhia wanyoofu hekima inayotumika;Yeye ni ngao kwa wanaotembea kwa utimilifu.+ 8 Huvilinda vijia vya haki,Naye atailinda njia ya washikamanifu wake.+