Zaburi 37:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataangamizwa.+ Zaburi 145:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova huwalinda wale wote wanaompenda,+Lakini atawaangamiza waovu wote.+
28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataangamizwa.+