Zaburi 37:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [ʽAʹyin]Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+ Zaburi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 37:28 cl 285-288 Zaburi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 37:28 Mkaribie Yehova, kur. 285-288 Mnara wa Mlinzi,3/1/1989, uku. 19
28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [ʽAʹyin]Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+