Ayubu 27:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wanawe wakiwa wengi, ni kwa ajili ya upanga;+Na wazao wake wenyewe hawatakuwa na chakula cha kutosha. Zaburi 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Utaangamiza wazaliwa wao kutoka duniani,+Na uzao wao kutoka kati ya wana wa binadamu.+ Methali 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao waovu, watakatiliwa mbali kutoka duniani;+ nao wenye hila, watang’olewa kutoka ndani yake.+
14 Wanawe wakiwa wengi, ni kwa ajili ya upanga;+Na wazao wake wenyewe hawatakuwa na chakula cha kutosha.