Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana waovu wataangamia,+

      Nao adui za Yehova watakuwa kama malisho bora;

      Lazima wao waufikie mwisho wao.+ Katika moshi lazima waufikie mwisho wao.+

  • Zaburi 104:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Watenda-dhambi watamalizwa kabisa kutoka duniani;+

      Nao waovu, hawatakuwapo tena.+

      Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu. Msifuni Yah!+

  • Methali 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kumbukumbu la mwadilifu litabarikiwa,+ lakini jina la waovu litaoza.+

  • Mathayo 25:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Na hawa watakatiliwa mbali milele,+ lakini waadilifu wataingia katika uzima wa milele.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki