Zaburi 37:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana waovu wataangamia,+Nao adui za Yehova watakuwa kama malisho bora;Lazima wao waufikie mwisho wao.+ Katika moshi lazima waufikie mwisho wao.+ Zaburi 104:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Watenda-dhambi watamalizwa kabisa kutoka duniani;+Nao waovu, hawatakuwapo tena.+Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu. Msifuni Yah!+ Methali 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumbukumbu la mwadilifu litabarikiwa,+ lakini jina la waovu litaoza.+ Mathayo 25:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na hawa watakatiliwa mbali milele,+ lakini waadilifu wataingia katika uzima wa milele.”+
20 Kwa maana waovu wataangamia,+Nao adui za Yehova watakuwa kama malisho bora;Lazima wao waufikie mwisho wao.+ Katika moshi lazima waufikie mwisho wao.+
35 Watenda-dhambi watamalizwa kabisa kutoka duniani;+Nao waovu, hawatakuwapo tena.+Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu. Msifuni Yah!+