2 Wafalme 19:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nami hakika nitalilinda+ jiji hili ili kuliokoa kwa ajili yangu mwenyewe+ na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”’”+ Zaburi 112:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa kuwa hatatikiswa kamwe.+ ל [Laʹmedh]Mwadilifu atakuwa kumbukumbu mpaka wakati usio na kipimo.+ Methali 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ni afadhali kuchagua jina badala ya utajiri mwingi;+ kibali ni bora kuliko hata fedha na dhahabu.+ Mhubiri 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Jina ni bora kuliko mafuta mazuri,+ na siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa kwa mtu.+
34 Nami hakika nitalilinda+ jiji hili ili kuliokoa kwa ajili yangu mwenyewe+ na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”’”+
22 Ni afadhali kuchagua jina badala ya utajiri mwingi;+ kibali ni bora kuliko hata fedha na dhahabu.+