5Kwa maana tunajua kwamba nyumba yetu ya kidunia,+ hema+ hili, ikivunjwa,+ tutapata jengo kutoka kwa Mungu, nyumba isiyojengwa kwa mikono,+ ya milele+ mbinguni.
10 Usiogope mateso ambayo yanakaribia kukupata.+ Tazama! Ibilisi+ ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili,+ na ili muwe na dhiki+ siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo,+ nami nitakupa taji la uzima.+