Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 50:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa upande wenu, ninyi mlikuwa na uovu akilini mwenu kunielekea mimi. Mungu alikuwa na wema akilini kwa kusudi la kutenda kama ilivyo leo hii ili kuhifadhi hai watu wengi.+

  • Zaburi 126:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yule ambaye bila shaka anaenda, naam, akilia,+

      Akiwa amechukua mfuko uliojaa mbegu,+

      Bila shaka ataingia kwa vigelegele vya shangwe,+

      Akiwa amechukua miganda yake.+

  • Mhubiri 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Jina ni bora kuliko mafuta mazuri,+ na siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa kwa mtu.+

  • Yohana 12:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Mbegu ya ngano isipoanguka katika udongo na kufa, hiyo hubaki ikiwa mbegu moja tu; lakini ikifa,+ ndipo hiyo huzaa matunda mengi.

  • Yakobo 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tazama! Tunawatangaza kuwa wenye furaha wale ambao wamevumilia.+ Mmesikia juu ya uvumilivu wa Ayubu+ nanyi mmeona matokeo ambayo Yehova alileta,+ kwamba Yehova ni mwenye upendo mwororo sana na mwenye rehema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki