Mathayo 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Tangu wakati huo na kuendelea Yesu Kristo akaanza kuwaonyesha wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu na kupatwa na mambo mengi kutoka kwa wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu afufuliwe.+ Waroma 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana kwa kusudi hili Kristo alikufa na kuwa hai tena,+ ili awe Bwana juu ya waliokufa+ na walio hai+ pia. 1 Wakorintho 15:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Wewe mtu usiye na akili! Kile unachopanda hakiwi hai isipokuwa kwanza kife;+
21 Tangu wakati huo na kuendelea Yesu Kristo akaanza kuwaonyesha wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu na kupatwa na mambo mengi kutoka kwa wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu afufuliwe.+
9 Kwa maana kwa kusudi hili Kristo alikufa na kuwa hai tena,+ ili awe Bwana juu ya waliokufa+ na walio hai+ pia.