1 Wathesalonike 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yeye alikufa kwa ajili yetu,+ ili, kama tunakaa macho au kama tumelala usingizi, tuishi pamoja naye.+ Ufunuo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+
10 Yeye alikufa kwa ajili yetu,+ ili, kama tunakaa macho au kama tumelala usingizi, tuishi pamoja naye.+
18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+